Business

CDA YAKANA MAVUNDE KUITUMIKIA UWAKILI,MGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI,anthony peter mavunde




Nawashukuru AzamTV kwa kuandaa mdahalo wa wagombea ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini leo katika ukumbi wa VETA HOTEL kuanzia saa 1 usiku.
Leo naamini wanaDodoma mtatupima vizuri na kuamua kura yenu idondokee wapi.
Lakini pia nafurahi leo ninapata nafasi kukutana ana kwa ana na wale walionizushia uongo na kunichonganisha na wananchi waliopata athari juu ya kubomolewa nyumba zao na kunyang'anywa ardhi kwa kutunga uongo kwamba mimi ni wakili wa CDA.
Natumaini leo wanaDODOMA watapata ukweli juu ya suala la CDA.
Share:

Follow Us

Inaendeshwa na Blogger.

Disqus Shortname

Social Icons

n

Post Ads (Documentation)

Widget Recent Post No.

SCIENCE & TECHNOLOGY

Games & Multimedia

PageNavi Results No.

Comments system

Featured post

Samir Mziki Mtamu

Slider

IMG Scroll Animation (yes/no)

Find Us On Facebook


Navigation-Menus (Do Not Edit Here!)

Technology

About us

Sports

Labels

Author Info (Documentation)

Video Of Day

Slider (Need Documentation)

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Followers

Social Icons

Labels

Labels

Events

Flickr Images

Contact us

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Advertisement

Follow us on FaceBook

Popular Posts

Featured

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts


Unordered List

Pages

Theme Support